Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
IRAN YAITAKA MAREKANI KUMWACHIA HURU RAIS MADURO

IRAN YAITAKA MAREKANI KUMWACHIA HURU RAIS MADURO

 


Iran imetoa wito wa kuachiwa kwa Nicholas Maduro, mshirika wa wake wa karibu ambaye alikamatwa katika oparesheni ya Marekani na kuhamishiwa jijini New York kushtakiwa.


"Rais wa nchi na mkewe walitekwa, hilo sio jambo la kujivunia, ni kinyume na sheria, kama walivyosema raia wa Venezuela, Rais wao ni lazima aachiwe" Esmail Baqaei - Msemaji wa Wizara yamambo ya kigeni wa Iran

Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3