Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
MWILI WA  MBUNGE HALIMA IDDY NASSORO WAZIKWA LEO

MWILI WA MBUNGE HALIMA IDDY NASSORO WAZIKWA LEO

 


Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum, Marehemu Halima Idd Nassor, Kigamboni jijini Dar es Salaam umezikwa jioni ya leo, Januari 18, 2026 katika Makaburi ya Kibada kwa Dole Kigamboni, Jijini Dar es Salaam.

Halima amefariki leo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.

Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3