Kwa Habari za kitaifa, Kimataifa, Michezo, Burudani,Uchambuzi na matangazo. Matukio Daima Blog, Ni yetu Sote!
RAS KILIMANJARO AWAFARIJI FAMILIA YA ALIYEKUWA RC MSTAAFU KAPTENI MSANGI

RAS KILIMANJARO AWAFARIJI FAMILIA YA ALIYEKUWA RC MSTAAFU KAPTENI MSANGI

 

MOSHI. 

KATIBU Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Kiseo Nzowa akisaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Njombe na Mara mwaka 2012/2016, Kapteni Aseri Msangi nyumbani kwa marehemu Chekereni wilayani Moshi aliyefariki Dunia Januari 2 mwaka huu.

Sponsored ads

Mid 1

Mid2

Ad3